KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Thursday, August 2, 2012

ASUBUHI YA VILIO CHAMAZI, HADI KOCHA MUHINDI AMWAGA MACHOZI WAKIMUAGA STEWART

 
Wachezaji wa Azam
Na Prince Akbar
WACHEZAJI wa Azam na makocha wapya wa klabu hiyo, pamoja na baadhi ya maofisa wa klabu hiyo, asubuhi ya leo wameangua kilio, tena kile cha kamasi wakati wakimuaga aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Muingereza Stewart Hall ambaye alifukuzwa rasmi jana.

NGASSA AWAFUNGULIA KESI SIMBA NA AZAM TFF

 
Ngassa kushoto akizungumza na Mwenyekiti wa Yanga, Manji

Na Mahmoud Zubeiry
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba SC, Mrisho Khalfan Ngassa amepiga hodi Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji kupinga kuuzwa kwake katika klabu hiyo, akitokea Azam FC bila kuhusishwa.

Tuesday, July 31, 2012

Venezuela’s top Diplomat in Kenya strangled to death inside her residence

 
The head of Venezuela’s embassy in Kenya was murdered at her official residence in the capital, police and foreign affairs ministry officials said on Friday.

ALIYETAKA KUMUUA MANDELA JELA MAISHA

 
Mike du Toit.

Elvan Stambuli na Mitandao

MHUSIKA mkuu wa mpango wa kumuua Nelson Mandela, wiki iliyopita katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo alipatikana na hatia ya uhaini kwenye kesi moja iliyodumu kwa takriban miaka 10 na atahukumiwa jela maisha.

Mike du Toit alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu na kiongozi wa kundi la kibaguzi la Jeshi la Kaburu la Chama cha Boeremeg, baada ya kupatikana na hatia na mahakama kusema atahukumiwa siku zijazo kuhusiana na jaribio lililoshindwa la kumpindua Mandela mwaka 2002 nchini Afrika Kusini, wanasheria akiwemo Steve Mhokholo, wamefunguka na kusema hukumu yake itakuwa kifungo cha maisha jela.
Mashahidi waliieleza mahakama kuwa du Toit na wenzake walipanga kumuua Mandela ambaye mwaka 1994 alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini pia walikusudia kuwapiga risasi weupe wenzao ambao wangepinga mtazamo wao wa kuwa taifa kamili la kibaguzi la Makaburu.
Du Toit alitaka kukiondoa madarakani kwa nia ya mapinduzi chama tawala cha African National Congress (ANC) na mahakama kuu nchini humo imesema atahukumiwa katika tarehe itakayotangazwa baadaye.
Ilidaiwa kuwa du Toit angefanikiwa kumpindua Mandela angewafukuza Waafrika wapatao milioni 40 kwa kuwalazimisha kwenda kuishi Zimbabwe tena basi wakiwa na vifurushi tu vya chakula na Wahindi wangepakiwa katika boti na kupelekwa kwao India.

DAWA MPYA YA UKIMWI YAANZA KAZI

Hamida Hassan na mitandao ya kijamii

DK. ULIMBOKA SI WA LEO WALA KESHO

 
Dk. Steven Ulimboka.
Na Mwandishi Wetu
Hali ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka, inaendelea vizuri lakini si wa kupona leo wala kesho, imeelezwa na vyanzo vyetu.

Sunday, July 29, 2012

Snoop Dogg Banned from Norway for Weed Possession

Snoop Dogg has been barred from entering Norway for two years and you're never going to be able to guess why!!!! Nevermind, you probably can.

The rapper's lawyer says the ban came down when Snoop tried to enter the country last month with a small amount of marijuana. The lawyer says Snoop "can live with the decision" and has no immediate plans to appeal it.

Snoop was stopped at customs at the Kjevic Airport in Kristiansand on June 28 where officials discovered 8 grams of weed. He was fined a little less than $2,000 and paid it on the spot.

YANGA BINGWA TENA KOMBE LA KAGAME


 Hiki ndiko kikosi cha yanga kilichofanya mauaji ya goli 2-0 dhidi ya Azam FC

Yanga imefanikiwa kulitwaa tena Kombe la Kagame mwaka huu wa 2012,  na hivyo kuutetea ubingwa wa kombe hilo iliokuwa inaushikilia. Imefanikiwa kuutwaa ubingwa leo baada ya kuifunga Azama FC, katika mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Taifa, jijini  Dar es Salaam. Mabao ya Yanga yamefungwa na Hamis Kiiza katika kipindi cha kwanza  na Saidi Bahanuzi kipindi cha pili.

Friday, July 27, 2012

PHOTO: The Murders So Brutal They Shocked South Africa...Couple Shot Dead, Then Son Aged 12 Is Drowned In BOILING WATER

Three men broke into the house in Walkerville, Johannesburg, assaulting and shooting dead Tony Viana (right) and brutally raping and killing his wife, Geraldine (left). They then tied up and gagged the sobbing boy, Amaro, second left, and pushed him into a bath of scalding hot water to drown him, 'because he would be able to identify them'. (Also pictured, Gabriela Correia, Mr Viana's daughter from his first marriage.)
Read More from Daily Mail.

Olympic Athlete From East Africa Walks Into A Police Station In Britain; Asks For Asylum

AN Olympic athlete has walked into a police station in Britain – and asked for asylum. The male competitor reportedly turned up at Bridewell Police Station in Leeds, Yorks, on Tuesday [July 24].

Robert Pattinson moves out of home he shared with Kirsten Stewart


 
According to People magazine, the Twilight star has temporarily moved out of the LA home he shared with Kristen following reports she cheated on him with married director, Rupert Sanders.

Robert is said to be devastated and angry...and
‘couldn’t believe what he was hearing’ when Kristen told him the fling was just a ‘one off.’ Kristen is begging for another chance, Robert is undecided.

Mwanamuziki Jose Chameleone atinga Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda na Mabango kutaka arudishiwe passport yake inayoshikiliwa na Erick Shigongo

 
Mwanamuziki wa Nchini Uganda,Jose Chameleone (ambaye hivi karibuni alikuwepo hapa nchini kwa shoo yake moja) leo amefanya maandamano mpaka Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda akiambatana na wapenzi wa muziki wake,kwa lengo la kutaka kurudishiwa Passport yake inayodaiwa kuwa inashikiliwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers,Erick Shigongo.hapa akizungumza na askari wa Ubalozini hapo.Inasemekana kuwa Shigongo aliamua kuchukua uamuzi huo wa kuchukua passport ya "Jose Chameleone" kwa kuwa Meneja wake alimtapeli kiasi cha dola 3500 kipindi cha nyuma hivyo ameamua kuzuia paspoti hadi arudishiwe fedha yake.

Thursday, July 26, 2012

FAINALI KAGAME CUP NI YANGA NA AZAM

  
Mchezaji wa timu ya Vita ya DRC Congo akichuana na mchezaji wa timu ya Azam FC katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ambapo Azam FC imeshinda magoli 2-1 dhidi ya Vita ya DRC.
 
Kikosi cha Timu ya Yanga kikiwa katika picha ya pamoja.Yanga iliwafunga APR ya Rwanda kwa bao 1-0.

Wednesday, July 25, 2012

This is Insane! These Couples Got Married Stark Naked!

These couples are crazy!Nine EXTREMELY adventurous couples slathered on ample amounts of sunblock as they exchanged vows NUDE in Negril, Jamaica.
The Hedonism II resort invited ten couples for the all-expense paid group ceremony. One couple dropped out before the big day, which was filmed for a documentary.
The lucky few were selected from a stack of 100 applications asking a myriad of questions, including why they wanted to start their life together in the nude.
In addition to the complimentary ceremony, winning couples were treated to a bachelor/bachelorette party and four-night stay at the resort, which sits on 22 acres of Negril's seven-mile beach

 Unbridled freedom: Some of the nine adventurous couples who made their wedding day one to remember as they exchanged vows au naturel in Negril, Jamaica on Valentine's DayWedding dress not required: Couples who participated in the ceremony pose for a group photo after exchanging vows

Kim K and Kanye Might Be Getting Engaged!

These guys sure aren't wasting anytime, as Kim's divorce from Kris Humphries has not been finalised and we already hear Kanye West has reportedly asked a private jeweller to craft a piece for his girlfriend using diamonds and rubies from his late mother Donda's personal collection as he wants to propose when her divorce to Humphries is finalised. A source said: 'Kanye picked out some of Donda's most expensive pieces, including some diamond earrings and a ruby ring.
 Eager: The rapper has reportedly asked a private jeweller to craft a piece for his girlfriend using diamonds and rubies from his late mother Donda's personal collection as he wants to propose when her divorce to Humphries is finalised
They have only been dating for a few months but Kim Kardashian and Kanye West may be set to walk down the aisle.
The 31-year-old reality star, who came under fire for ending her marriage to former husband Kris Humphries after just 72 days, is apparently very close to receiving a proposal.
The rapper is said to be currently designing a ring for his ladylove, according to Radaronline.com

Tuesday, July 24, 2012

SUPER AGENT RIBEIRO SAYS MAN UTD DROPPING LUKAS PARSUIT

Super agent Ribeiro says Man Utd dropping Lucas pursuit 
The agent of Sao Paulo star Lucas Moura doesn’t believe he will be joining Manchester United.
Wagner Ribeiro, one of the leading agents in South America, does not think Lucas will be moving anywhere this summer after United’s bid was rejected. “They have reached their limit,” Ribeiro told UOL. “Lucas Moura won’t leave. He is happy at Sao Paulo. We have to forget this subject. There is no possibility he leaves now. “Manchester United made an offer, which was rejected and they won’t make another one as they have reached their limit.”

MALAGA STAR SANT CAZORLA AGREES PERSENAL TERMS WITH ARSENAL

Malaga star Santi Cazorla agrees personal terms with Arsenal 
Arsenal are closing on a deal for Malaga midfielder Santi Cazorla. The Guardian says Cazorla has agreed terms to join Arsenal and leave Málaga this summer. Arsène Wenger is keen to sign Cazorla, whom he monitored last summer, and he is hopeful that an offer of €20m (£15.6m) can close the deal with a basic agreement in place with the player. Negotiations have taken place between the clubs and, although Málaga’s initial response was to point to Cazorla’s €45m buy-out clause and effectively discourage Arsenal’s interest, the Spanish club’s worrying financial situation, which could see them relegated if they do not pay outstanding debts, might force them to sell.