Wachezaji wa Azam
Na
Prince Akbar
WACHEZAJI wa Azam na makocha wapya wa klabu hiyo,
pamoja na baadhi ya maofisa wa klabu hiyo, asubuhi ya leo wameangua kilio, tena
kile cha kamasi wakati wakimuaga aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Muingereza
Stewart Hall ambaye alifukuzwa rasmi jana.













