KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Thursday, January 24, 2013

TBL YAKABIDHI VIFAA KWA SIMBA NA YANGA ASUBUHI HII

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe (kulia), akimkabidhi vifaa ya michezo, Katibu wa klabu ya Yanga SC, Lawrence Mwalusako asubuhi ya leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, unaoanza mwishoni mwa wiki. Kilimanjaro inayozalishwa na kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ni wadhamini wakuu wa Yanga SC. 
 
Viongozi wa Simba, Yanga na TFF wakiwa na Kavishe 
 

  
                                                 Kawemba katikati akitoa nasaha zake
  
Kamwaga kushoto akitoa shukrani kwa wadhamini

MTANDAO WA LIGI WAZINDULIWA JIJINI DAR LEO

7 
2
61

Friday, January 18, 2013

WASANII WA FILAMU BONGO KUPELEKWA NIGERIA

 
Mkurugenzi wa Mad Mad Entertainment, Yasmin Razak (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu kampuni yake kuingia mikataba na wasanii wa filamu wa Tanzania watakaokwenda Nigeria na Jmahuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya kutengeza filamu. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superior, Issack Kasanga na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba.

SHIRIKA LA NDEGE LA PRECISION AIR YAZINDUA SAFARI ZAKE ZA MKOANI MBEYA

 
Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri wa Wizara ya Uchukuzi, Peter Lupatu, akikata utepe kuzindua Safari za Ndege za Shirika la Precision Air za Mbeya kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Precision Air, Michael Shirima. 
 

  Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Uchukuzi, Peter Lupatu, akishuka kutoka katika ndege ya shirika la Precision Air wakati wa uzinduzi wa Safari za Mbeya – Dar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe kabla ya kukata utepe kuzindua safari hizo. Nyuma yake ni Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Michael Shirima.

Saturday, October 6, 2012

SERENGETI FIESTA 2012,BABU KUBWA!!!!!!!!

Sehemu ya umati watu waliojitokeza kila kona jiji la Dar na kwingineko kuwashuhudia wasanii mbalimbali wakitumbuiza kwenye jukwaa la tamasha la Serengeti Fiesta 2012, akiwemo Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Marekani Rick Ross.http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Rick_Ross_in_2011.jpg/220px-Rick_Ross_in_2011.jpg

 
 
 
The Wacko Jako wa bongo akifanya vitu vyake jukwaani usiku huu

Sunday, September 30, 2012

MANJI KUJENGA UWANJA WA KISASA JANGWANI, UTAKUWA BAAB KUBWA TANZANIA NZIMA HAKUNA

 
Uwanja mpya wa Kaunda utakavyokuwa

MTIBWA SUGAR WAPO CHAMAZI LEO LIGI KUU

 
Mtibwa Sugar
LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa mchezo mmoja tu utakaopigwa kwenye Uwanja Chamazi, Dar es Salaam, kati nya Ruvu Shooting ya Pwani na Mtibwa Sugar ya Morogoro.
Mechi hiyo ilitakiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi lakini kwa sababu ya kuonyeshwa moja kwa moja na Televisheni ya Super Sport ya Afrika Kusini umehamishiwa Uwanja wa Azam.
Unatarajiwa kuwa mchezo mzuri usio na jakamoyo na bila shaka watakaoushuhudia kupitia Super Sport watafurahia soka ya kuvutia. Mechi nyingine za ligi hiyo zilichezwa mwishoni mwa wiki, kuanzia Ijumaa na kurushwa pia moja kwa moja na Super Sport.
 

YANGA YAIFUNGA AFRICAN LYON 3-1,NIZA KHALFAN AING'ARISHA TIMU YAKE!

 
Didie Kavumbagu wa Yanga (Kushoto),ibu kumtoka mlinzi wa African Lyon, kwenyepambano la soka ligi kuu ya Tanzania bara kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam yanga imeshinda bao tatu kwa moja 3-1leo mabao yamefungwa na Nadir harub kanavalo bao moja na Nizaa Khalfan amefunga mabao 2 
 
 Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, (Kulia), akitafuta mbinu za kumtoka mlinzi wa Afrikan Lyon, Sunday Bakari katika pambano la ligi kuu soka Tanzania bara kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam yanga imeshinda bao 3-1 leo

YANGA imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya African Lyon katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Tuesday, September 18, 2012

SPORTS IMAGES:UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Spot on: Belhanda celebrates scoring his penalty 
Spot on: Belhanda celebrates scoring his penalty
Easy does it: Podolski slots the ball home from inside the area 
Easy does it: Podolski slots the ball home from inside the area
 Good feeling: Podolski is mobbed after his goal 
Good feeling: Podolski is mobbed after his goal
 Turning the tie around: Gervinho puts Arsenal 2-1 up 
Turning the tie around: Gervinho puts Arsenal 2-1 up
 In good form: Gervinho scores his third goal in two games 
In good form: Gervinho scores his third goal in two games
 Fight for the ball: Mikel Arteta battles with Montpellier's Remy Cabella 
Fight for the ball: Mikel Arteta battles with Montpellier's Remy Cabella
 Face in the crowd: Wenger watches from the stands  
Face in the crowd: Wenger watches from the stands
Hero: Ronaldo scores the winner for Real Madrid as they beat Manchester City at home 
 Hero: Ronaldo scores the winner for Real Madrid as they beat Manchester City at home
 Winner: Cristiano Ronaldo celebrates scoring for Real Madrid in the dying seconds 
Winner: Cristiano Ronaldo celebrates scoring for Real Madrid in the dying seconds
 Kneesy does it: Jose Mourinho celebrates Real Madrid's late winner 
Kneesy does it: Jose Mourinho celebrates Real Madrid's late winner
 Stunned: Roberto Mancini watched his Manchester City side twice throw away the lead 
Stunned: Roberto Mancini watched his Manchester City side twice throw away the lead
 Can't believe it: Joe Hart is dejected after Manchester City conceded two late goals in Madrid 
Can't believe it: Joe Hart is dejected after Manchester City conceded two late goals in Madrid
 Opener: Manchester City's Edin Dzeko puts his side in front against Real Madrid (above) and celebrates (below) 
Opener: Manchester City's Edin Dzeko puts his side in front against Real Madrid (above) and celebrates (below)
 Short lived: Edin Dzeko put Manchester City in front in the second half
Their opening goal, scored after 69 minutes, was evidence of that. Yaya Toure had impressed with a couple of surging runs in the first half but when he won the ball in midfield again and spotted Edin Dzeko breaking forward down the left flank he made this one count. The pass was perfectly weighted, the finish from Dzeko just as impressive.
Beaten: Hart can't get a hand to Marcelo's equaliser for Real Madrid 
Beaten: Hart can't get a hand to Marcelo's equaliser for Real Madrid
Leveller: Marcelo scored Real Madrid's first equaliser after his shot was deflected in 
 Back in front: Aleksandar Kolarov surprised the Madrid defence with his free kick 
Back in front: Aleksandar Kolarov surprised the Madrid defence with his free kick
Winning start: Real Madrid celebrate their Champions League success 
Winning start: Real Madrid celebrate their Champions League success