

Bondia machachari, Floyd Maywether, akiwa na furaha baada ya kuwaona mashabiki wake wakiwa nje ya Lango la Gereza hilo baada ya kutoka nje. Bondia huyo amechiwa huru jana asubuhi baada ya kutumikia kifungo chake cha miezi miwili alichohukumiwa kwa kumdhalilisha rafiki yake wa kike mbele mtoto wake.
No comments:
Post a Comment