KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Tuesday, February 19, 2013

MATUKIO KATIKA PICHA KONGAMANO LA MICHEZO KATI YA MHONDA TC NA DATCO

TIMU YA VOLLEYBAL YA DATCO KATIKA PICHA YA PAMOJA KABLA YA MCHEZO

TIMU YA VOLLEYBAL YA MHONDA TC KATIKA PICHA YA PAMOJA KABLA MCHEZO



MASHABIKI WA MHONDA TC WAKIFURAHIA USHINDI WALIOPATA WA SET 3-0 DHIDI YA DATCO KATIKA MCHEZO WA VOLLEYBALL.HATA HIVYO KWA UPANDE WA NETBAL,DATCO WALISHINDA 7-3 DHIDI YA MHONDA TC.

MATUKIO KATIKA PICHA KONGAMANO LA MICHEZO KATI YA MHONDA TC NA DATCO



MKUU WA CHUO CHA DATCO MHESHIMIWA NYWAGE AKIFUNGUA RASMI KONGAMANO LA MICHEZO KATI YA MHONDA TC NA DAKAWA(DATCO)

WANACHUO WA DATCO WAKIIMBA WIMBO WA CHUO TAYARI KWA KUANZA KONGAMANO

WANACHUO WA CHUO CHA UALIMU MHONDA WAKISIKILIZA KWA MAKINI RISALA FUPI TOKA KWA MKUU WA CHUO CHA DATCO MAPEMA WIKI HII!!!


TIMU YA MPIRA WA NETBAL YA MHONDA TC WAKIPIGA PICHA YA PAMOJA KABLA YA KUANZA PAMBANO LAO ZIDI YA DATCO.

Monday, February 18, 2013

BAADA YA KUJIKITA NA ELIMU YA CHUO KIKUU CHARZY AJIPANGA KATIKA TASNIA YA FILAMU! AFURAHIA KWENDA CHUO NA ANAZIDI KUJIPANGA KATIKA KUKAMILISHA ALBUM YAKE YA MUZIKI.

MSANII CHARLZY MUSHI AKIWA KATIKA MATAYARISHO YA FILAMU YAKE YA KIPEKEE ITAYOITWA JINA  LA " ONCE UPON THE  TIME"
MSANII CHARLZY KATIKA POZI!!!
MSANII RICK J NAYE KATIKA POZI WAKIWA KATIKA MATAYARISHO YA FILAMU YA "ONCE UPON THE TIME"

WASANII WA EPIQ BONGO STAR SEARCH WAIFUNIKA DODOMA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiolzBhwsNRjlOk024-GpO1Yzf7PCeV-xe3SLAgypytHIIZYR_axImCIWI0EZutTKpZNGWUoZreUROrfg2M6MHXJuk7eI-ybZOLoANRYg1KBg7UjJWwOLuViSzIec1g4m0tyTrK56FXaGCl/s1600/Walter+na+Ben+Paul+wakiimba+pamoja.JPG 
WALTER AKIONYESHA UMAIRI WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHyqs9xpXoORlsJ_TaL7B9CYRropR-N-nFER9c_ZjuWatFsr6JCipUwxH4XpqyqI5oJYCKzX7kpgnWq0cl9C7-nEddiyjYfwnt1zsGDCBWf9eqbCC15O5yNa-9NiJCWOYh0D_n3ugmWQpC/s1600/Shabiki+akimpongeza+Wababa.JPG 
WABABA AKIPONGEZWA NA SHABIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOo6R3zSCZcSHoPL9F-kyxe8hSzRVuo2F0z-l1q5I-4edq5mmCKQ35F7wGKkMjSA1v6CgmSBZn2s-UyEUYnk9YAfbInAn1LXf2hBjvfuOUM9PRTvdaS2z9sUGWlMqhD2MqXoqHLm7QoSWe/s1600/Husna+akiwapagawisha+mashabiki.JPG 
HUSNA AKIWAPAGAWISHA MASHABIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxzIFtm9P6FLPj4KOgjsvkERu4qzwk2NTedL5o_Rtf0cZ6Dg8Iu15KvT6puojVx0a-h4h6HVSulqV1h8HWUW7YEznA24Gi7Giu_xf3oNZQJrVzWikKrfMCDchyw6fsLM2D4AKnjF8-YSIe/s1600/Barnaba+akiwaimbisha+mashabiki.JPG 
BARNABA AKIWAIMBISHA MASHABIKI
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5DGHptX4aEB8YB_0qBz4z5425ZgzVUpNTQeZOdxWY5qdwxtYY_PS-xTIGXB82xyxGwxWNSEz7SP7K9lfdI8vppwhY3qnGbRNBT2ZyYB3V2IuslOvyk4nA2sHrDuNtvjotM0pEQKmycTNu/s1600/Baadhi+ya+mashabiki+waliohudhuria.JPG 
             MASHABIKI WAKIFURAHIA BURUDANI NZURI!

Tuesday, February 5, 2013

GAUCHO, NEYMAR NA WATATU WA CHELSEA WOTE KUANZA DHIDI YA ENGLAND WEMBLEY LEO

KOCHA Roy Hodgson na vijana wake wanatambua ugumu watakaokutana nao kwenye mchezo wa leo usiku dhidi ya Brazil na tayari kocha wa wapinzani wake, Luiz Felipe Scolari amekwishataja kikosi cha kwanza.
Ronaldinho, Neymar na Luis Fabiano wanatarajiwa kuanza kwenye Uwanja wa Wembley, pamoja na nyota wa Chelsea, David Luiz, ambaye ni Nahodha wa kikosi hicho, Ramires na Oscar, na kipa wa Queens Park Rangers, Julio Cesar
 On the ball: Neymar (left) watching Ronaldinho (right) is among the starting XI for Brazil
Neymar (kushoto) akimuangalia Ronaldinho (kulia)

Wengine wanaotarajiwa kuwamo kwenye kikosi hicho kitakachoivaa England ni pamoja na Daniel Alves, Dante, Adriano na Paulinho.
Nyota wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, mwenye umri wa miaka 32, mara ya mwisho aliichezea nchi yake mwaka uliopita ikifungwa 2-1 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Bosnia.
Hodgson tayari amethibitisha kwamba Steven Gerrard atakuwa Nahodha wa timu leo upande wa England, wakati Ashley Cole atacheza mechi ya 100 ya ki

Prestige friendly: Brazil are looking forward to taking on England at Wembley on Wednesday nightBlue boys: Ramires, David Luiz and Oscar are all in line to start