KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Tuesday, February 19, 2013

MATUKIO KATIKA PICHA KONGAMANO LA MICHEZO KATI YA MHONDA TC NA DATCO

TIMU YA VOLLEYBAL YA DATCO KATIKA PICHA YA PAMOJA KABLA YA MCHEZO

TIMU YA VOLLEYBAL YA MHONDA TC KATIKA PICHA YA PAMOJA KABLA MCHEZO



MASHABIKI WA MHONDA TC WAKIFURAHIA USHINDI WALIOPATA WA SET 3-0 DHIDI YA DATCO KATIKA MCHEZO WA VOLLEYBALL.HATA HIVYO KWA UPANDE WA NETBAL,DATCO WALISHINDA 7-3 DHIDI YA MHONDA TC.

MATUKIO KATIKA PICHA KONGAMANO LA MICHEZO KATI YA MHONDA TC NA DATCO



MKUU WA CHUO CHA DATCO MHESHIMIWA NYWAGE AKIFUNGUA RASMI KONGAMANO LA MICHEZO KATI YA MHONDA TC NA DAKAWA(DATCO)

WANACHUO WA DATCO WAKIIMBA WIMBO WA CHUO TAYARI KWA KUANZA KONGAMANO

WANACHUO WA CHUO CHA UALIMU MHONDA WAKISIKILIZA KWA MAKINI RISALA FUPI TOKA KWA MKUU WA CHUO CHA DATCO MAPEMA WIKI HII!!!


TIMU YA MPIRA WA NETBAL YA MHONDA TC WAKIPIGA PICHA YA PAMOJA KABLA YA KUANZA PAMBANO LAO ZIDI YA DATCO.

Monday, February 18, 2013

BAADA YA KUJIKITA NA ELIMU YA CHUO KIKUU CHARZY AJIPANGA KATIKA TASNIA YA FILAMU! AFURAHIA KWENDA CHUO NA ANAZIDI KUJIPANGA KATIKA KUKAMILISHA ALBUM YAKE YA MUZIKI.

MSANII CHARLZY MUSHI AKIWA KATIKA MATAYARISHO YA FILAMU YAKE YA KIPEKEE ITAYOITWA JINA  LA " ONCE UPON THE  TIME"
MSANII CHARLZY KATIKA POZI!!!
MSANII RICK J NAYE KATIKA POZI WAKIWA KATIKA MATAYARISHO YA FILAMU YA "ONCE UPON THE TIME"

WASANII WA EPIQ BONGO STAR SEARCH WAIFUNIKA DODOMA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiolzBhwsNRjlOk024-GpO1Yzf7PCeV-xe3SLAgypytHIIZYR_axImCIWI0EZutTKpZNGWUoZreUROrfg2M6MHXJuk7eI-ybZOLoANRYg1KBg7UjJWwOLuViSzIec1g4m0tyTrK56FXaGCl/s1600/Walter+na+Ben+Paul+wakiimba+pamoja.JPG 
WALTER AKIONYESHA UMAIRI WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHyqs9xpXoORlsJ_TaL7B9CYRropR-N-nFER9c_ZjuWatFsr6JCipUwxH4XpqyqI5oJYCKzX7kpgnWq0cl9C7-nEddiyjYfwnt1zsGDCBWf9eqbCC15O5yNa-9NiJCWOYh0D_n3ugmWQpC/s1600/Shabiki+akimpongeza+Wababa.JPG 
WABABA AKIPONGEZWA NA SHABIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOo6R3zSCZcSHoPL9F-kyxe8hSzRVuo2F0z-l1q5I-4edq5mmCKQ35F7wGKkMjSA1v6CgmSBZn2s-UyEUYnk9YAfbInAn1LXf2hBjvfuOUM9PRTvdaS2z9sUGWlMqhD2MqXoqHLm7QoSWe/s1600/Husna+akiwapagawisha+mashabiki.JPG 
HUSNA AKIWAPAGAWISHA MASHABIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxzIFtm9P6FLPj4KOgjsvkERu4qzwk2NTedL5o_Rtf0cZ6Dg8Iu15KvT6puojVx0a-h4h6HVSulqV1h8HWUW7YEznA24Gi7Giu_xf3oNZQJrVzWikKrfMCDchyw6fsLM2D4AKnjF8-YSIe/s1600/Barnaba+akiwaimbisha+mashabiki.JPG 
BARNABA AKIWAIMBISHA MASHABIKI
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5DGHptX4aEB8YB_0qBz4z5425ZgzVUpNTQeZOdxWY5qdwxtYY_PS-xTIGXB82xyxGwxWNSEz7SP7K9lfdI8vppwhY3qnGbRNBT2ZyYB3V2IuslOvyk4nA2sHrDuNtvjotM0pEQKmycTNu/s1600/Baadhi+ya+mashabiki+waliohudhuria.JPG 
             MASHABIKI WAKIFURAHIA BURUDANI NZURI!

Tuesday, February 5, 2013

GAUCHO, NEYMAR NA WATATU WA CHELSEA WOTE KUANZA DHIDI YA ENGLAND WEMBLEY LEO

KOCHA Roy Hodgson na vijana wake wanatambua ugumu watakaokutana nao kwenye mchezo wa leo usiku dhidi ya Brazil na tayari kocha wa wapinzani wake, Luiz Felipe Scolari amekwishataja kikosi cha kwanza.
Ronaldinho, Neymar na Luis Fabiano wanatarajiwa kuanza kwenye Uwanja wa Wembley, pamoja na nyota wa Chelsea, David Luiz, ambaye ni Nahodha wa kikosi hicho, Ramires na Oscar, na kipa wa Queens Park Rangers, Julio Cesar
 On the ball: Neymar (left) watching Ronaldinho (right) is among the starting XI for Brazil
Neymar (kushoto) akimuangalia Ronaldinho (kulia)

Wengine wanaotarajiwa kuwamo kwenye kikosi hicho kitakachoivaa England ni pamoja na Daniel Alves, Dante, Adriano na Paulinho.
Nyota wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, mwenye umri wa miaka 32, mara ya mwisho aliichezea nchi yake mwaka uliopita ikifungwa 2-1 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Bosnia.
Hodgson tayari amethibitisha kwamba Steven Gerrard atakuwa Nahodha wa timu leo upande wa England, wakati Ashley Cole atacheza mechi ya 100 ya ki

Prestige friendly: Brazil are looking forward to taking on England at Wembley on Wednesday nightBlue boys: Ramires, David Luiz and Oscar are all in line to start

Thursday, January 24, 2013

TBL YAKABIDHI VIFAA KWA SIMBA NA YANGA ASUBUHI HII

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe (kulia), akimkabidhi vifaa ya michezo, Katibu wa klabu ya Yanga SC, Lawrence Mwalusako asubuhi ya leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, unaoanza mwishoni mwa wiki. Kilimanjaro inayozalishwa na kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ni wadhamini wakuu wa Yanga SC. 
 
Viongozi wa Simba, Yanga na TFF wakiwa na Kavishe 
 

  
                                                 Kawemba katikati akitoa nasaha zake
  
Kamwaga kushoto akitoa shukrani kwa wadhamini

MTANDAO WA LIGI WAZINDULIWA JIJINI DAR LEO

7 
2
61

Friday, January 18, 2013

WASANII WA FILAMU BONGO KUPELEKWA NIGERIA

 
Mkurugenzi wa Mad Mad Entertainment, Yasmin Razak (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu kampuni yake kuingia mikataba na wasanii wa filamu wa Tanzania watakaokwenda Nigeria na Jmahuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya kutengeza filamu. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superior, Issack Kasanga na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba.

SHIRIKA LA NDEGE LA PRECISION AIR YAZINDUA SAFARI ZAKE ZA MKOANI MBEYA

 
Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri wa Wizara ya Uchukuzi, Peter Lupatu, akikata utepe kuzindua Safari za Ndege za Shirika la Precision Air za Mbeya kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Precision Air, Michael Shirima. 
 

  Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Uchukuzi, Peter Lupatu, akishuka kutoka katika ndege ya shirika la Precision Air wakati wa uzinduzi wa Safari za Mbeya – Dar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe kabla ya kukata utepe kuzindua safari hizo. Nyuma yake ni Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Michael Shirima.