KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Thursday, January 24, 2013

TBL YAKABIDHI VIFAA KWA SIMBA NA YANGA ASUBUHI HII

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe (kulia), akimkabidhi vifaa ya michezo, Katibu wa klabu ya Yanga SC, Lawrence Mwalusako asubuhi ya leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, unaoanza mwishoni mwa wiki. Kilimanjaro inayozalishwa na kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ni wadhamini wakuu wa Yanga SC. 
 
Viongozi wa Simba, Yanga na TFF wakiwa na Kavishe 
 

  
                                                 Kawemba katikati akitoa nasaha zake
  
Kamwaga kushoto akitoa shukrani kwa wadhamini

No comments:

Post a Comment