KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Sunday, July 15, 2012

Azam FC 1-1 Mafunzo

 
Azam FC jioni hii imetoka sare ya 1-1 na Mafunzo ya Zanzibar katika mechi yake ya kwanza ya Kagame Cup, Goli la Azam FC lilifungwa na John Bocco. Mashindano ya Kagame Cup yanaendelea kwenye viwanja vya Taifa na Chamazi

No comments:

Post a Comment