KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Thursday, July 19, 2012

Dkt Shein akipata maelezo ya kuzama kwa meli Star Gate

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali alipofika katika Ofisi za Shirika la Bandari, Malindi, Unguja kupata taarifa sahihi ya ajali ya kuzama kwa Meli ya MV Sky Gate eneo la kisiwa cha Chumbe ikitokea Dar es Salaam kuelekea Unguja

No comments:

Post a Comment