KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIJAMII



dstv

blog

Tuesday, July 31, 2012

Venezuela’s top Diplomat in Kenya strangled to death inside her residence

 
The head of Venezuela’s embassy in Kenya was murdered at her official residence in the capital, police and foreign affairs ministry officials said on Friday.

ALIYETAKA KUMUUA MANDELA JELA MAISHA

 
Mike du Toit.

Elvan Stambuli na Mitandao

MHUSIKA mkuu wa mpango wa kumuua Nelson Mandela, wiki iliyopita katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo alipatikana na hatia ya uhaini kwenye kesi moja iliyodumu kwa takriban miaka 10 na atahukumiwa jela maisha.

Mike du Toit alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu na kiongozi wa kundi la kibaguzi la Jeshi la Kaburu la Chama cha Boeremeg, baada ya kupatikana na hatia na mahakama kusema atahukumiwa siku zijazo kuhusiana na jaribio lililoshindwa la kumpindua Mandela mwaka 2002 nchini Afrika Kusini, wanasheria akiwemo Steve Mhokholo, wamefunguka na kusema hukumu yake itakuwa kifungo cha maisha jela.
Mashahidi waliieleza mahakama kuwa du Toit na wenzake walipanga kumuua Mandela ambaye mwaka 1994 alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini pia walikusudia kuwapiga risasi weupe wenzao ambao wangepinga mtazamo wao wa kuwa taifa kamili la kibaguzi la Makaburu.
Du Toit alitaka kukiondoa madarakani kwa nia ya mapinduzi chama tawala cha African National Congress (ANC) na mahakama kuu nchini humo imesema atahukumiwa katika tarehe itakayotangazwa baadaye.
Ilidaiwa kuwa du Toit angefanikiwa kumpindua Mandela angewafukuza Waafrika wapatao milioni 40 kwa kuwalazimisha kwenda kuishi Zimbabwe tena basi wakiwa na vifurushi tu vya chakula na Wahindi wangepakiwa katika boti na kupelekwa kwao India.

DAWA MPYA YA UKIMWI YAANZA KAZI

Hamida Hassan na mitandao ya kijamii

DK. ULIMBOKA SI WA LEO WALA KESHO

 
Dk. Steven Ulimboka.
Na Mwandishi Wetu
Hali ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka, inaendelea vizuri lakini si wa kupona leo wala kesho, imeelezwa na vyanzo vyetu.

Sunday, July 29, 2012

Snoop Dogg Banned from Norway for Weed Possession

Snoop Dogg has been barred from entering Norway for two years and you're never going to be able to guess why!!!! Nevermind, you probably can.

The rapper's lawyer says the ban came down when Snoop tried to enter the country last month with a small amount of marijuana. The lawyer says Snoop "can live with the decision" and has no immediate plans to appeal it.

Snoop was stopped at customs at the Kjevic Airport in Kristiansand on June 28 where officials discovered 8 grams of weed. He was fined a little less than $2,000 and paid it on the spot.

YANGA BINGWA TENA KOMBE LA KAGAME


 Hiki ndiko kikosi cha yanga kilichofanya mauaji ya goli 2-0 dhidi ya Azam FC

Yanga imefanikiwa kulitwaa tena Kombe la Kagame mwaka huu wa 2012,  na hivyo kuutetea ubingwa wa kombe hilo iliokuwa inaushikilia. Imefanikiwa kuutwaa ubingwa leo baada ya kuifunga Azama FC, katika mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Taifa, jijini  Dar es Salaam. Mabao ya Yanga yamefungwa na Hamis Kiiza katika kipindi cha kwanza  na Saidi Bahanuzi kipindi cha pili.

Friday, July 27, 2012

PHOTO: The Murders So Brutal They Shocked South Africa...Couple Shot Dead, Then Son Aged 12 Is Drowned In BOILING WATER

Three men broke into the house in Walkerville, Johannesburg, assaulting and shooting dead Tony Viana (right) and brutally raping and killing his wife, Geraldine (left). They then tied up and gagged the sobbing boy, Amaro, second left, and pushed him into a bath of scalding hot water to drown him, 'because he would be able to identify them'. (Also pictured, Gabriela Correia, Mr Viana's daughter from his first marriage.)
Read More from Daily Mail.

Olympic Athlete From East Africa Walks Into A Police Station In Britain; Asks For Asylum

AN Olympic athlete has walked into a police station in Britain – and asked for asylum. The male competitor reportedly turned up at Bridewell Police Station in Leeds, Yorks, on Tuesday [July 24].

Robert Pattinson moves out of home he shared with Kirsten Stewart


 
According to People magazine, the Twilight star has temporarily moved out of the LA home he shared with Kristen following reports she cheated on him with married director, Rupert Sanders.

Robert is said to be devastated and angry...and
‘couldn’t believe what he was hearing’ when Kristen told him the fling was just a ‘one off.’ Kristen is begging for another chance, Robert is undecided.

Mwanamuziki Jose Chameleone atinga Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda na Mabango kutaka arudishiwe passport yake inayoshikiliwa na Erick Shigongo

 
Mwanamuziki wa Nchini Uganda,Jose Chameleone (ambaye hivi karibuni alikuwepo hapa nchini kwa shoo yake moja) leo amefanya maandamano mpaka Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda akiambatana na wapenzi wa muziki wake,kwa lengo la kutaka kurudishiwa Passport yake inayodaiwa kuwa inashikiliwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers,Erick Shigongo.hapa akizungumza na askari wa Ubalozini hapo.Inasemekana kuwa Shigongo aliamua kuchukua uamuzi huo wa kuchukua passport ya "Jose Chameleone" kwa kuwa Meneja wake alimtapeli kiasi cha dola 3500 kipindi cha nyuma hivyo ameamua kuzuia paspoti hadi arudishiwe fedha yake.

Thursday, July 26, 2012

FAINALI KAGAME CUP NI YANGA NA AZAM

  
Mchezaji wa timu ya Vita ya DRC Congo akichuana na mchezaji wa timu ya Azam FC katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ambapo Azam FC imeshinda magoli 2-1 dhidi ya Vita ya DRC.
 
Kikosi cha Timu ya Yanga kikiwa katika picha ya pamoja.Yanga iliwafunga APR ya Rwanda kwa bao 1-0.

Wednesday, July 25, 2012

This is Insane! These Couples Got Married Stark Naked!

These couples are crazy!Nine EXTREMELY adventurous couples slathered on ample amounts of sunblock as they exchanged vows NUDE in Negril, Jamaica.
The Hedonism II resort invited ten couples for the all-expense paid group ceremony. One couple dropped out before the big day, which was filmed for a documentary.
The lucky few were selected from a stack of 100 applications asking a myriad of questions, including why they wanted to start their life together in the nude.
In addition to the complimentary ceremony, winning couples were treated to a bachelor/bachelorette party and four-night stay at the resort, which sits on 22 acres of Negril's seven-mile beach

 Unbridled freedom: Some of the nine adventurous couples who made their wedding day one to remember as they exchanged vows au naturel in Negril, Jamaica on Valentine's DayWedding dress not required: Couples who participated in the ceremony pose for a group photo after exchanging vows

Kim K and Kanye Might Be Getting Engaged!

These guys sure aren't wasting anytime, as Kim's divorce from Kris Humphries has not been finalised and we already hear Kanye West has reportedly asked a private jeweller to craft a piece for his girlfriend using diamonds and rubies from his late mother Donda's personal collection as he wants to propose when her divorce to Humphries is finalised. A source said: 'Kanye picked out some of Donda's most expensive pieces, including some diamond earrings and a ruby ring.
 Eager: The rapper has reportedly asked a private jeweller to craft a piece for his girlfriend using diamonds and rubies from his late mother Donda's personal collection as he wants to propose when her divorce to Humphries is finalised
They have only been dating for a few months but Kim Kardashian and Kanye West may be set to walk down the aisle.
The 31-year-old reality star, who came under fire for ending her marriage to former husband Kris Humphries after just 72 days, is apparently very close to receiving a proposal.
The rapper is said to be currently designing a ring for his ladylove, according to Radaronline.com

Tuesday, July 24, 2012

SUPER AGENT RIBEIRO SAYS MAN UTD DROPPING LUKAS PARSUIT

Super agent Ribeiro says Man Utd dropping Lucas pursuit 
The agent of Sao Paulo star Lucas Moura doesn’t believe he will be joining Manchester United.
Wagner Ribeiro, one of the leading agents in South America, does not think Lucas will be moving anywhere this summer after United’s bid was rejected. “They have reached their limit,” Ribeiro told UOL. “Lucas Moura won’t leave. He is happy at Sao Paulo. We have to forget this subject. There is no possibility he leaves now. “Manchester United made an offer, which was rejected and they won’t make another one as they have reached their limit.”

MALAGA STAR SANT CAZORLA AGREES PERSENAL TERMS WITH ARSENAL

Malaga star Santi Cazorla agrees personal terms with Arsenal 
Arsenal are closing on a deal for Malaga midfielder Santi Cazorla. The Guardian says Cazorla has agreed terms to join Arsenal and leave Málaga this summer. Arsène Wenger is keen to sign Cazorla, whom he monitored last summer, and he is hopeful that an offer of €20m (£15.6m) can close the deal with a basic agreement in place with the player. Negotiations have taken place between the clubs and, although Málaga’s initial response was to point to Cazorla’s €45m buy-out clause and effectively discourage Arsenal’s interest, the Spanish club’s worrying financial situation, which could see them relegated if they do not pay outstanding debts, might force them to sell.

JOHN 13OKO AIPELEKA AZAM NUSU FAINALI

John I3occo apeleka kilio Msimbazi
Mabao matatu kutoka kwa John Bocco yametosha kuipeleka kwa mara ya kwanza Timu ya Azam katika Nusu fainali ya Kagame Cup 2012. Simba iliambulia bao moja tu kutoka kwa Shomari kapombe.
Kocha wa Simba Milovan amesikitishwa na matokeo na akasema hakutegemea lakini hana la kufanya. Hajawalaumu wachezaji akisema ni moja ya mchezo.
Huku kocha wa Azam FC, Stewart akisema sasa wanatazama ubingwa wa Cecafa Kagame Cup.

Sunday, July 22, 2012

Twin Sisters Marry Same Man And Have Children For Him

 
Twin sisters named Gracious and Grace recently did what others might call bizarre by marrying the same husband in Zambia. Since birth, the lovely twin sisters were known for sharing things together. They’re married to a 25-yr old man named, Kays Kaundula a resident of Livingstone Island in Zambia.

Meet The African Contestants For Miss World 2012 Pageant


Miss Angola                                                                              Miss Botswana

Miss Cape Verde
 
                                                                       Miss Cote D'Ivoire

Saturday, July 21, 2012

The call girl who burned Ribery!!!

The call girl who burned Ribery!!! 
The sexy curves megaton caused scandal within the European football and his name became famous overnight around the world when it was revealed that a minor call girl had slept with Frank Ribery.
Today, almost two years after the discovery of erotic adventure Zahi Ntechar ace with Bayern, which almost spell the end of his career in golf, the 19 year old girl now in Morocco aspires to a career model.
The sexy pictures with underwear, which released the Spanish version of the magazine «V» hopes will spark to make her dream a reality.

Friday, July 20, 2012

Brazil show team GB the gold standard

Brazil © Action Images 
Brazil showed Team GB the standard required to win gold at the Olympics as the tournament favourites warmed up for the London Games with a 2-0 win at Middlesbrough's Riverside Stadium on Friday.

Jamaica’s Usain Bolt: Is He Still the World’s Fastest Runner?

OLY-JAM-ATHL-ATM100-M-FINAL
Blake (535) edges Bolt (539) in the 100m at this year’s Olympic trials in Kingston. (Gilbert Bellamy / Reuters-Landov)

Will lightning strike again in London? Or have the years of fast living finally caught up with the speediest man alive? A close look at the Jamaican record breaker.

YANGA INATISHA,YAMNYAMAZISHA BRANDITS KWA 2-0

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcF0LMAenD3hHRuVFmfXc7CYsmLgUrzeQNZzspUXx2Iyvj-TsHtI4Aht-GGCGK9OiMHQHTtiV3_gGX1gZlp6Sm5pFMunY-HViXmZ2lVQ7Uge5CivZYfgt_y4R7sTGB661tI4Oq0VNXMYg/s1600/IMG_5728.jpg 
Wachezaji wa yanga wakishangilia bao lao lakuongoza lililofungwa na Said Bahamuzi dakika ya 28 ya mchezo huku mwamuzi akiwataka warudi uwanjani.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiF70YeMydgMB5KGCievREnRWGEMCOK8qTVashBocnzigAD9pUyI9Vw8rdEHpPDOHCXxwKIoyEV-WCI7j0awZBhH9P7bJ8oMcSl60bJEVG5b3NVpNk-STitWUPnUZDqYKs-K3APok0WksE/s1600/IMG_5835.jpghttps://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg25RUC_9FCiuWieOPTs3SKVpGUWTbjGUe8G7-wv0tmrdfk3_8zP3uOkBNdAv_NkbICeotmEkwNhg2Wn5KnGF6Iu26O2y1l3526Aok3Or7sVSyuHhq16HyCISS7PEQn72ZcYQ2Y2ys6ldw/s1600/IMG_5838.jpg 
Mashabiki wa yanga wakiwa wanaishangilia timu yao baada ya kupata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya  APR ya  Ruanda. 

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLHzzOkdaXsiDWch0NtEkB4BuFtdCQgniQm3-pbJg4mO-YgSccaNRgYsDpBBSWNfO-KnXXKs2suNXZBCsij2UVPwJQrQvHX5Ag-goVHySqLL3R3tGSDmlcCkBGzKwi5_SFpecn1aoZiOw/s1600/IMG_5764.jpg
Nizar Khalfan wa yanga akiwachambua mabeki wa APR kama karanga.

UAMUZI KUHUSU SUALA LA MCHEZAJI KEVIN YONDAN

Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za wachezaji (ambayo katika uamuzi huu itarejewa kama ‘Kamati’) iliyokutana Julai 17 mwaka huu, baada ya kupitia mikataba na nyaraka zote zinazohusiana na mchezaji Kevin Yondani katika kujiridhisha juu ya hadhi yake ya usajili katika mashindano ya Kombe la Kagame kama zilivyowasilishwa mbele yake imefikia uamuzi ufuatao;

Thursday, July 19, 2012

Man Goes To Jail For Shooting His Own Genitals

A felon was arrested in Oklahoma City for possession of a firearm after he told police he shot himself in the genitals, officials said.

Tavares Donnell Colbert, 36, shot himself in the genitals Saturday near Interstate 35 while testing a gun he bought on the street in Kansas to see if it functioned properly before selling it, The Oklahoman reported.

Colbert drove himself to the hospital and police were alerted soon after, the newspaper said. He was arrested on a complaint of possession of a firearm when he was medically cleared.

Colbert was convicted in 2003 of a felony possession of a controlled and dangerous substance with intent to distribute charge.

AJALI YA MELI: WABUNGE WAMFARIJI DK. SHEIN

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakiongozwa na Waziri wa Ulinzi Mhe,Shamsi Vuai
Nahodha,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumpa pole Rais kutokana na ajali ya Meli ya Mv SKAGIT ya Kampuni ya SEAGUL iliyotokea jana, ikiokea Dar es Salaam kwenda Zanzibar
  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na  Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakiongozwa na Waziri wa Ulinzi Mhe,Shamsi Vuai
Nahodha,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumpa pole Rais kutokana na ajali ya Meli ya Mv SKAGIT ya Kampuni ya SEAGUL iliyotokea jana, ikitokea Dar es Salaam kwenda Zanzibar

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YATANGAZA SIKU TATU YA MAOMBELEZI KUFUATIA AJALI YA MELI YA MV STAR GATE .

 
Askari wa Vikosi mbalimbali wakiwa katika kazi ya Uokozi kwa Abiria waliokuwa katika Meli ya Star Gate ambayo iliozama katika ikiwa imebeba abiria 250 huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar jana
 Na Juma Mohammed,MAELEZO Zanzibar

Dkt Shein akipata maelezo ya kuzama kwa meli Star Gate

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali alipofika katika Ofisi za Shirika la Bandari, Malindi, Unguja kupata taarifa sahihi ya ajali ya kuzama kwa Meli ya MV Sky Gate eneo la kisiwa cha Chumbe ikitokea Dar es Salaam kuelekea Unguja

kufuatia ajali ya meli zanzibar, vodacom yaahirisha hafla ya kutoa tuzo maalum kwa mabloga bora


Baadhi ya wadau wa masuala ya blog nchini wakiwa katika picha ya pamoja jioni ya jana katika hafla fupi iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania kuwatunukia tuzo maalum, zoezi ambalo limeahirishwa kutokana na ajali ya meli iliyotokea mapema leo visiwani Zanzibar. Msemaji wa Vodacom amesema imebidi waahirishe zoezi hili ili kuungana na Watanzania wote katika kuomboleza msiba huu mkubwa kwa taifa na kwamba kampuni hiyo ya simu itajiunga katika juhudi zozote za kujitolea kwa hali na mali katika maombolezo na kuwafariji waliopatwa na maafa pamoja na wafiwa.

Thursday, July 19, 2012 Anne Hathaway & Co. Celebrate at "Dark Knight Rises" Afterparty


After constant promotions for their newest film, the stars of “The Dark Knight Rises” were spotted having some fun at an after-party in London, England on Wednesday night (July 18).
Held at The Freemasons Hall, Catwoman cutie Anne Hathaway dressed in a lovely white cocktail dress as she joined castmates Tom Hardy, Marion Cotillard, Joseph Gordon-Levitt and director Christopher Nolan for a night of post-red carpet celebrations.

Mustakabali wa Van Persie kuamuliwa ndani ya saa 48 zijazo

Mustakabali wa Van Persie kuamuliwa ndani ya saa 48 zijazo
Klabu ya soka ya Arsenal ya Uingereza imeweka wazi kuwa suala la mshambuliaji wao nyota Robbin Van Persie litaamuliwa na  kuwekwa wazi ndani ya saa 48 zijazo. Gazeti la Daily mail la nchini humo linadai kuwa klabu ya Arsenal imemtaka mshambuliaji huyo kutoa tamko lake ndani ya saa 48 kabla ya kocha wa timu hiyo Arsene Wenger kuongea na vyombo vya habari juu ya hatma ya mchezaji huyo ndani ya klabu hiyo ya washika bunduki wa London. Vyanzo vya ndani vya klabu hiyo vinadai kuwa Van Persie anatarajia kufanya mazungumzo na kocha wake kati ya Jumatano(leo) au Alhamisi ili kuweka wazi azma yake ya kuendelea au kutoendelea na mkataba mpya ndani ya klabu hiyo, Arsenal inatarajia kuanza tour yake katika bara la Asia siku ya jumamosi kwa ajili ya kujiwinda na msimu ujao wa ligi. Hapo awali Arsenal walikuwa na nia ya kumjumuisha Van Persie kwenye tour hiyo lakini imethibika kuwa kama Van Persie ataweka wazi kuwa hakuna nafasi ya yeye kuongeza mkataba ndani ya klabu hiyo basi mshambuliaji huyo hataongozana na wenzake kwenye tour hiyo.

AIRTEL YAJA NA KOPA NA UDAKE SALIO

 
Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya “Daka Salio” iliyofanyika katika makao makuu ya Airtel , pichani kushoto ni Afisa uhusiano wa Airtel na kulia ni Meneja bidhaa wa Airtel Salim Madati
 
Afisa mawasiliano na matukio wa Airtel Bi Dangio Kaniki akifafanua kuhusu huduma ya mpya ya “Daka Salio” wakati wa Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika katika makao makuu ya ofisi za Airtel Morocco na kuhudhuriwa na waandishi wa habari, katikati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akifuatiwa na Meneja Bidhaa Salim…
  
Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya “Daka Salio” iliyofanyika katika makao makuu ya Airtel , pichani kushoto ni Afisa uhusiano wa Airtel na kulia ni Meneja bidhaa wa Airtel Salim Madati
  
Maafisa wa Airtel kwa pamoja wakionyesha vipeperushi vya huduma mpya ya “Daka Salio” wakati wa Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika katika makao makuu ya ofisi za Airtel Morocco na kuhudhuriwa na waandishi wa habari, kutoka kushoto ni Afisa mawasiliano na matukio Bi Dangio Kaniki, Meneja Uhusiano Jackson Mmbando na Meneja Bidhaa Salim Madati.